Na habari zilizotufikia hivi punde zinasema Rais Mteule wa
ZANZIBAR, DR. ALI MOHAMMED SHEIN anaapishwa Kesho katika uwanja wa michezo wa AMANI mjini UNGUJA, ikiwa ni siku MBILI baada ya kushinda nafasi ya urais wa ZANZIBAR katika uchaguzi mkuu wa TANZANIA.
Sherehe za kuapishwa kwake zitaanza saa TATU asubuhi.
No comments:
Post a Comment